chozi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

chozi tumbo-njano

Nomino 1[hariri]

chozi (wingi machozi)

  1. tone la maji linalotoka katika macho ya mtu akiwa na furaha au huzuni

Tafsiri[hariri]

Nomino 2[hariri]

chozi (wingi chozi)

  1. ndege mdogo ambaye anakula mbochi wa maua

Tafsiri[hariri]