Nenda kwa yaliyomo

chalisi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]
  1. kikombe cha ibada kinachotumika katika makanisa ya kikristo hususanikatolikina anglikana kwa ajili ya kushikilia divai wakati wa ibada ya Ekaristi Takatifu

Tafsiri

[hariri]