Nenda kwa yaliyomo

chachu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

chachu (wingi)

  1. kitu kali
  2. kuvu ndogo inayotumika kubadilisha sukari kuwa pombe au gesi ya kaboni hasa katika kutengeneza mkate na vinywaji.
    Mfano: mikate hii wametengeneza kwa kutumia chachu.

Visawe

[hariri]
  1. hamira

Tafsiri

[hariri]