capitalism
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; capitalism)
- Neno la kiingereza lenye maana ya mfumo wa kiuchumi na kisiasa ambapo biashara na viwanda vya nchi hudhibitiwa na wamiliki binafsi kwa ajili ya faida, badala ya serikali.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; ukapitalisti