Nenda kwa yaliyomo

buruza

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

kitenzi

[hariri]

buruza

  1. buruza ni kitendo cha kuvuta kwa kufanya msuguo.
  2. ni kitendo cha kuwa wa kwanza kwenye nafasi katika kikundi fulani kwa muda mrefu kama vile matokeo ya mitihani.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: drag;leading