Nenda kwa yaliyomo

buruza

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

kitenzi

[hariri]

(Wingi; buruza)

  1. buruza ni kitendo cha kuvuta kwa kufanya msuguo.
  2. ni kitendo cha kuwa wa kwanza kwenye nafasi katika kikundi fulani kwa muda mrefu kama vile matokeo ya mitihani.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: drag;leading