burst out
Mandhari
Kiingereza
[hariri]kitenzi
[hariri]- Matamshi*: /bɜːst aʊt/
- kufanya kitu ghafla na kwa nguvu, hasa kuzungumza, kulia au kucheka.
- kutoka au kuibuka kwa ghafla.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:angua (kama vile kuangua kicheko, kuangua kilio);kuibuka ghafla