Nenda kwa yaliyomo

boksi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Kitenzi

[hariri]

(Wingi: Nomino)

Katika mpira wa miguu, boksi ni eneo la adhabu lililo karibu na goli, linalojulikana kama 18-yard box au penalty area.

Matumizi katika lugha

[hariri]
  • "Beki alifanya kosa ndani ya boksi, hivyo timu ikapewa penalti."

Tafsiri

[hariri]