Nenda kwa yaliyomo

boga

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi; maboga)

  1. Tunda la mboga lenye rangi ya machungwa au kijani.
  2. Mbegu zake hutumika kama chanzo cha virutubisho.
  3. Majani yake hutumika kama mboga.
Taswira ya boga