Nenda kwa yaliyomo

bodaboda

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Etimolojia

[hariri]

Kutoka Kiingereza "border-border" yaani "mpaka-mpaka".

Nomino

[hariri]
  1. (Afrika Mashariki) Pikipiki ya abiria.
  2. (Afrika Mashariki, kifupi) Mwendeshaji wa pikipiki anayesafirisha abiria.

Visawe

[hariri]

Tafsiri

[hariri]