blues
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- Aina ya muziki wa Kiafrika‑Amerika wenye hisia za huzuni au msisimko wa ndani
- Hali ya huzuni, unyong’onyevu au kukata tamaa
Tafsiri
[hariri]- Kifaransa:blues, mélancolie
- Kiswahili:muziki wa blues, huzuni, unyong’onyevu