Nenda kwa yaliyomo

blockchain

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; blockchains)

  1. Ni neno la Kiingereza linalomaanisha teknolojia ya hifadhidata iliyosambazwa na isiyoweza kubadilishwa, inayotumika kurekodi miamala kwa usalama.

Tafsiri

[hariri]