Nenda kwa yaliyomo

big data

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; -)

  1. Ni maneno ya Kiingereza yanayomaanisha mkusanyiko mkubwa na changamano wa data ambao hauwezi kuchakatwa kwa urahisi kwa kutumia mbinu za jadi.

Tafsiri

[hariri]