bible
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; bibles)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha mkusanyiko wa maandishi matakatifu au vitabu vinavyochukuliwa kuwa neno la Mungu katika dini fulani, hasa Ukristo na Uyahudi.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; biblia, kitabu kitakatifu