Nenda kwa yaliyomo

batiki

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: batiki)

  1. ni kitambaa kinachochapwa kwa kutumia nta au gundi ili kuzuia rangi kufika sehemu fulani za kitambaa.