baruwa
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]baruwa (umoja barua, wingo barua)
(Neno sanifu zaidi ni **barua**)
1. Andiko linalotumiwa na mtu kwa ajili ya kuwasiliana na mwingine.
* Mfano: Niliandika **baruwa** ndefu kwa rafiki yangu.
Tafsiri
[hariri]Kinyarwanda
[hariri]Nomino
[hariri]1. Inyandiko ikoreshwa mu itumanaho rya abantu.
* Mfano: Nafite **ibaruwa** nshya.