Nenda kwa yaliyomo

bamia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

bamia (wingi bamia)

  1. tunda refu lenye manyoya madogo ambalo hupikwa kama mboga, na huchanganywa kwenye mchuzi, supu na kupikia mlenda.

Tafsiri

[hariri]