Nenda kwa yaliyomo

bactérie

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kifaransa

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. kiumbe mdogo wa seli moja, hupatikana kila mahali (udongo, maji, hewa, miili ya viumbe), baadhi husaidia na baadhi husababisha magonjwa

Tafsiri

[hariri]