Nenda kwa yaliyomo

aya

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

aya

wingi:aya

  1. Kipande cha maandishi chenye sentensi kadhaa zinazoshikamana kuzungumzia wazo moja kuu, kinachoanza na herufi kubwa na kumalizika kwa nukta au alama ya mwisho.

Mfano wa matumizi: Aya ya tano ya isha ile inaongelea historia

Kisawe

[hariri]
  • kifungu
  • kipande cha maandishi

Tafsiri

[hariri]