aya
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]aya
wingi:aya
- Kipande cha maandishi chenye sentensi kadhaa zinazoshikamana kuzungumzia wazo moja kuu, kinachoanza na herufi kubwa na kumalizika kwa nukta au alama ya mwisho.
Mfano wa matumizi: Aya ya tano ya isha ile inaongelea historia
Kisawe
[hariri]- kifungu
- kipande cha maandishi