axiom
Mandhari
Kiingereza
[hariri]nomino
[hariri](wingi; axioms)
- ni neno la kiingereza lenye maana ya taarifa au pendekezo ambalo linachukuliwa kuwa limethibitishwa, linakubalika, au linajidhihirisha kuwa kweli.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:kaida; kanuni msingi