Nenda kwa yaliyomo

armadilo

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mnyama mdogo mwenye gamba gumu linalofanana na ngao, hupatikana hasa Amerika, na hujulikana kwa kujikunja ili kujilinda

Tafsiri

[hariri]