Nenda kwa yaliyomo

apisha

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

kitenzi

[hariri]

apisha

  1. ni neno la Kiswahili lenye maana ya kumfanya mtu aape au atoe ahadi ya kutumikia cheo au nafasi aliyopewa kwa uaminifu

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: administer an oath