Nenda kwa yaliyomo

aphid

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mdudu wa familia ya Aphididae mwenye mwili laini na saizi ndogo kama kichwa cha sindano; huishi kwa makundi na hunyonya utomvu wa mimea, husababisha kudumaa kwa mimea, magonjwa ya virusi, na uvimbe wa majani

Tafsiri

[hariri]