apartheid
Mandhari
Kiingereza
[hariri]
Nomino
[hariri]apartheid
- Mfumo rasmi na wa kisheria wa ubaguzi na utengano wa kimbari uliotumiwa nchini Afrika Kusini (1948–1994) na serikali ya makaburu dhidi ya Waafrika weusi.
Maneno yanayohusiana
[hariri]- anti-apartheid (kupinga ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini)
- segregation (utengano wa kijamii)