Nenda kwa yaliyomo

apakati

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

apakati

  1. Pigo la ngumi linalorushwa kutoka chini kwenda juu, likilenga kidevu cha mpinzani.
    • Apakati kali ilimrusha mpinzani wake na kumwangusha chali.
  2. Umoja: apakati
  3. Wingi: apakati
  4. Tafsiri: Kiingereza: uppercut