antiseptiki
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]- dutu ya kikemikali inayotumika kuzuia au kuua vijidudu vinavyosababisha maambukizi; hutumika juu ya ngozi au tishu hai ili kuzuia kuenea kwa bakteria
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:antiseptic
- Kifaransa:antiseptique