anthology
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- Mkusanyiko wa maandishi, mashairi, hadithi au nyimbo zilizochaguliwa kutoka kwa waandishi mbalimbali na kuwekwa pamoja kwenye kitabu kimoja.
Tafsiri
[hariri]- Kifaransa:anthologie
- Kiswahili:antolojia