Nenda kwa yaliyomo

antenne

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kifaransa

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Kifaa cha kielektroniki kinachopokea au kutuma mawimbi ya redio, televisheni, au satelaiti
  2. Kiungo cha hisia kilicho mrefu na chembamba kinachopatikana kwenye kichwa cha wadudu na crustacea

Tafsiri

[hariri]