Nenda kwa yaliyomo

anana

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

kivumishi

[hariri]
  • Matamshi*: /a.na.na/
  1. laini au nyororo.
  2. mpole au mwenye upole.

Tafsiri

[hariri]

nomino

[hariri]

(umoja; anana, wingi; zianana)

  • Matamshi*: /a.na.na/
  1. sehemu ya fedha ya zamani yenye thamani ya sehemu moja kati ya kumi na sita ya rupia.

Tafsiri

[hariri]