ampicilline
Mandhari
Kifaransa
[hariri]Nomino
[hariri]- dawa ya antibayotiki ya kundi la penicillin inayotumika kutibu maambukizi ya bakteria kama vile homa ya mapafu, maambukizi ya njia ya mkojo, na homa ya uti wa mgongo
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:ampicillin
- Kiswahili:ampisiline