ampicillin
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- dawa ya antibayotiki ya kundi la penicillin inayotumika kutibu maambukizi ya bakteria kama homa ya mapafu, maambukizi ya njia ya mkojo, na homa ya uti wa mgongo
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:ampisiline
- Kifaransa:ampicilline