Nenda kwa yaliyomo

ampea

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

ampea (wingi ziampea)

  • Matamshi*: /am.pe.re/
  1. (fizikia) kipimo cha mkondo wa umeme katika mfumo wa SI, kinachofupishwa kama A.

Tafsiri

[hariri]