amnesty
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; amnesty)
- Neno la kiingereza lenye maana ya msamaha rasmi unaotolewa na serikali kwa wahalifu, hasa kwa wale ambao wametenda makosa ya kisiasa.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; msamaha mkuu