Nenda kwa yaliyomo

amikto

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]
  • Matamshi*: /a.mik.to/
  1. (dini) vazi dogo la kitambaa cheupe kinachovaliwa na makasisi wa Kanisa Katoliki shingoni na mabegani chini ya mavazi ya ibada.

Tafsiri

[hariri]