alligator
Mandhari
Kiingereza
[hariri]nomino
[hariri](wingi; alligators)
- Matamshi*: /ˈæl.ɪˌɡeɪ.tər/
- mnyama mkubwa wa majini mwenye meno makali na ngozi ngumu, anayefanana na mamba, anayepatikana hasa Marekani na China.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:mamba wa Amerika
- Kiswahili:aligator