Nenda kwa yaliyomo

alba

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: alba)

  1. ni nguo ndefu nyeupe na ya kitambaa chepesi inayofunika mwili mzima kutoka shingo hadi miguu anayovaa padre wakati wa ibada za kikatoliki kuashiria usafi, utakatifu na utunzaji.

Tafsiri

[hariri]
  • Kiingereza: alb