Nenda kwa yaliyomo

akiba

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

akiba

  1. Sehemu ya mapato, fedha, au rasilimali ambayo hai-tumiki kwa matumizi ya sasa, bali inawekwa kando kwa ajili ya mahitaji ya dharura, uwekezaji, au matumizi ya baadaye; savings.