Nenda kwa yaliyomo

aerobiki

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

aerobiki n-n (wingi aerobiki)

  1. Mazoezi ya mwili yanayofanywa kwa mdundo wa muziki ili kuongeza nguvu na ustahimilivu.
  2. Anafanya aerobiki kila siku asubuhi.

Tafsiri

[hariri]