Nenda kwa yaliyomo

adhokrasia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri chanzo]
  1. mfumo wa shirika au uongozi usio rasmi, unaotegemea kubuni na kuunda timu maalum kwa kazi fulani bila muundo wa kudumu (mfumo unaokinzana na urasimu)

Tafsiri

[hariri chanzo]