ad hominem
Mandhari
Kilatini
[hariri chanzo]Kivumishi
[hariri chanzo]- aina ya hoja inayoshambulia mtu binafsi badala ya hoja au mada yenyewe
Tafsiri
[hariri chanzo]- Kiswahili:hoja ya kumshambulia mtu
- Kiingereza:ad hominem
- Kifaransa:argument ad hominem