active learning
Mandhari
Kiingereza
[hariri chanzo]Nomino
[hariri chanzo]- mbinu ya ufundishaji inayowahusisha wanafunzi moja kwa moja katika mchakato wa kujifunza kupitia vitendo na mijadala
Tafsiri
[hariri chanzo]- Kiswahili:ujifunzaji hai, ujifunzaji shirikishi
- Kifaransa:apprentissage actif