acrasia
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- (wingi) hali ambapo mtu anajua ni sahihi kufanya jambo fulani lakini anakosa kudhibiti tamaa au hisia zake, na kufanya kinyume
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: kutokuwa na udhibiti wa tamaa, kutenda kinyume na maarifa
- Kifaransa: acrasie