accentor
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- (wingi) ndege wa familia ya Prunellidae; ndege wadogo wanaopatikana kwa kawaida katika sehemu za Ulaya na Asia
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: ndege wa familia ya Prunellidae
- Kifaransa: accentors