abouna
Mandhari
Kifaransa
[hariri]Nomino
[hariri]- cheo cha kiongozi wa dini katika makanisa ya Kikristo ya Mashariki, hasa Kanisa la Kiorthodoksi la Koptiki na makanisa ya Mashariki ya Kikatoliki
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:abuna
- Kiingereza:abouna