Nenda kwa yaliyomo

Victoria, Shelisheli

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]
ina makala kuhusu:

Nomino

[hariri]
  1. Mji mkuu wa nchi ya Shelisheli.
  2. Mji ulioko katika kisiwa cha Mahé.

Etimolojia

[hariri]

Mji huu ulipewa jina la Victoria kwa heshima ya malkia Victoria wa Uingereza baada ya nchi hiyo kuwa chini ya utawala wa Waingereza.

Tafsiri

[hariri]