Nenda kwa yaliyomo

Ubao mama

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

Ubao mama (wingi mbao mama)

  1. Bao kuu la saketi ndani ya kompyuta linalounganisha vifaa vyote muhimu kama vile kichakato (CPU), kumbukumbu ya muda (RAM), na vingine vingi.

Tafsiri

[hariri]