Ubao mama
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]Ubao mama (wingi mbao mama)
- Bao kuu la saketi ndani ya kompyuta linalounganisha vifaa vyote muhimu kama vile kichakato (CPU), kumbukumbu ya muda (RAM), na vingine vingi.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: motherboard (en)