Nenda kwa yaliyomo

Tobias

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Tobias

[hariri]

Nomino

[hariri]

Tobias – Jina la kiume linalotumika katika nchi nyingi za Ulaya na asili ya Kikristo/Kiyahudi.

Etimolojia

[hariri]

Linatokana na Kiyahudi "Toviyah", lenye maana ya "Bwana ni mwema" au "Zawadi ya Mungu" (kutoka "tov" = mwema, na "Yah" = Bwana).