Simujanja
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]Simujanja n-n (wingi simujanja)
- Simu ya mkononi yenye uwezo wa hali ya juu unaokaribiana na ule wa kompyuta, ikiwemo kuunganisha kwenye mtandao na kutumia programu tumizi.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: smartphone (en)