Nenda kwa yaliyomo

Shuti

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

Shuti (wingi mashuti)

  1. kitendo cha kupiga mpira kwa mguu kwa nguvu
  2. Pigo la ghalfa au la haraka kwa mguu kwenye kitu chochote

Matumizi katika sentensi

[hariri]
  • "Mchezaji alitoa shuti kali lililoleta bao."
  • "Alipiga shutina kuvunja kopo."

Tafsiri

[hariri]