Mwanga
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]Mwanga
- Mojawapo ya wilaya Mkoani Kilimanjaro
- Jina la kata katika Wilaya ya Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania.
- Jina la kata katika Wilaya ya manispaa ya Kigoma Ujiji, mkoa wa Kigoma, Tanzania.
- Kipengele kinachoonekana au kinachotoa nuru.
Mfano
[hariri]- Mwanga wa jua unaangaza leo. (Sunlight is shining today.)