Nenda kwa yaliyomo

Mohammed

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Mohammed

[hariri]

Nomino

[hariri]

Mohammed – Jina la kiume linalotumika sana katika nchi nyingi za Kiislamu na miongoni mwa jamii za Kiislamu duniani.

Etimolojia

[hariri]

Linatokana na Kiarabu “Muḥammad” (مُحَمَّد), likimaanisha “Aliye sifiwa” au “Aliye pongeziwa”.